Uzinduzi wa Albamu ya Weusi Mikoa Ya Iringa na Morogoro

 

Show hii itakuwa pande za IRINGA siku ya tarehe 31 mwezi huu wa 3 katika ukumbi wa HIGHLAND HALL na kiingilio kitakuwa ni sh 10,000 tu,Baada ya Iringa watu wazima watadondoka pande za MOROGORO siku ya tarehe 1 mwezi wa 4 na kukinukisha katika ukumbi wa FOURSTAR CLUB kwa kiingilio cha 7000 tu


Vote for Diamond Platinum - Kilimanjaro music awards 2012


Vote for Jay Moe - Kilimanjaro music awards 2012